Mshambuliaji wa KRC Genk, Mtanzania, Mbwana Samatta akiwatoka wachezaji
wa Ajax katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu jana Uwanja wa
mazoezi wa The Ajax Future timu hizo zikitoka sare ya 3-3.
Mbwana Samatta akiwatoka wachezaji wa Ajax timu hizo zikitoka sare ya 3-3 jana
Mbwana Samatta alifunga bao moja jana katika sare hiyo
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.