Pigo
la nguvu CUF,UKAWA,madiwani 3 Hai waikimbia CHADEMA, Makinikia
yaivuruga Acacia,pigo zito upinzani, Zitto amkubali JPM, vigogo hawa
kumtoa Lissu keko.
Serikali
yapigilia msumari udahili, Makonda awatumbua maafisa 12 elimu kata 12,
Chisano kutua mzigo wa JPM, Majaliwa azicharukia taasisi za vyuo vikuu.
Pata dondoo za magazeti ya leo hapa;
Kijiji ambacho kuoana mkiwa dini tofauti ni kifo
-
Mauaji ya wanandoa wa imani tofauti ya dini yameshtua kijiji kidogo katika
jimbo la Uttar Pradesh kaskazini mwa India ambapo wakazi wameishi kwa amani
kwa ...
0 comments:
Post a Comment