Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Mwigulu Nchemba akizungumza na wandishi wa habari jijini Mwanza mara baada ya mchezo kati ya Alliance Academy dhidi ya Singida United mchezo uliofanyika katika dimba la Nyamagana, ambapo Alliance walitembezewa kichapo cha bao 2-0.
MAELEZO KWA PICHA NYINGINE KUWAJIA HIVI PUNDE........
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.