ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, July 8, 2017

MICHEZO MBALIMBALI YAENDELEA GYMKHANA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 100 YA KLABU HIYO.


 Kapteni wa Mchezo wa Snooker wa Klabu ya Gymkhana, Shaizad Bhanji akishiriki katika mashindano ya kuelekea katika kilele cha maadhimisho ya miaka 100 ya klabu hiyo katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es salaam hivi karibuni.
Washiriki wa mchezo wa Tennis Inga Njau/Jitendra Singh/ Kunal Vadgama/Sanjay Chokshi wakishiriki katika michuano ya kuelekea katika kilele cha maadhimisho ya miaka 100 ya klabu hiyo inayoendelea katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es salaam.
Washiriki wa mchezo wa Tennis Inga Njau/Jitendra Singh/ Kunal Vadgama/Sanjay Chokshi wakishiriki katika michuano ya kuelekea katika kilele cha maadhimisho ya miaka 100 ya klabu hiyo inayoendelea katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es salaam.
Washiriki wa mchezo wa Tennis Inga Njau/Jitendra Singh/ Kunal Vadgama/Sanjay Chokshi wakishiriki katika michuano ya kuelekea katika kilele cha maadhimisho ya miaka 100 ya klabu hiyo inayoendelea katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es salaam.
 Washiriki wa mchezo wa Tennis Inga Njau/Jitendra Singh/ Kunal Vadgama/Sanjay Chokshi wakishiriki katika michuano ya kuelekea katika kilele cha maadhimisho ya miaka 100 ya klabu hiyo inayoendelea katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Klabu ya Gymkhana, Walter Chipeta (kulia) akikabidhi kikombe kwa nahodha wa timu ya mpira wa miguu wa klabu ya Gymkhana  Ali Mmandi (mwenye jezi ya kijani) baada ya timu yake kuibuka kidedea katika michuano ya kuelekea katika kilele cha maadhimisho ya miaka 100 ya klabu hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Gymkhana jana jijini Dar es salaam.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.