Manchester United mapemaa imeamua kuuweka hadharani uzi wake mpya wa msimu wa 2017/18.
Uzi huo unaonekana kurudisha kumbukumbu ya Man United kuhusiana na jezi
za enzo hizoo wakati wa kipindi cha Alex Ferguson na wachezaji kama Ryan
Giggs walikuwa wakichipukia.
Taarifa kwa Umma Kuhusu Ongezeko la Bei za Mafuta.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Tunatambua ongezeko kubwa la hivi karibuni la bei za mafuta ambalo
limeongezeka kwa asilimia 33. Kama jukwaa linalolenga kusawaz...
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
0 comments:
Post a Comment