Kiongozi wa mbio za mwenge wa Uhuru 2017 Amour Hamadi Amour amekataa
kuzindua mradi wa Bwalo la chakula la shule ya msingi Lilondo iliyopo
Halmashauri ya wilaya ya Madaba mkoani Ruvuma. Taarifa iliyosomwa na
Mwalimu mkuu wa shule hiyo Agnes Amlike inaonyesha kuwa kuwa jingo hilo
lilianza kujengwa mwaka 2015 ,hali
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment