Kiongozi wa mbio za mwenge wa Uhuru 2017 Amour Hamadi Amour amekataa
kuzindua mradi wa Bwalo la chakula la shule ya msingi Lilondo iliyopo
Halmashauri ya wilaya ya Madaba mkoani Ruvuma. Taarifa iliyosomwa na
Mwalimu mkuu wa shule hiyo Agnes Amlike inaonyesha kuwa kuwa jingo hilo
lilianza kujengwa mwaka 2015 ,hali
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.