Magufuli
atoa ajira kwa madaktari 258, Usalama wa taifa wazuiwa Bungeni,
Daladala yagonga treni Dar mmoja afariki, Mtei amfurahia rais Magufuli.
Spika Ndugai aagiza hotuba za upinzani Bungeni zifuatiliwe, Madaktari
258 Kenya waajiriwa Tanzania, Wabunge wahofia njaa. Habarika na dondoo
hizi za magazeti ya leo hapa.
Maji bwawa la Mindu ni Salama - Bonde la wami Ruvu
-
Na Farida Mangube Morogoro
Bodi ya Maji ya Bonde la Wami-Ruvu imewatoa hofu wakazi wa Manispaa ya
Morogoro kuwa maji ya Bwawa la Mindu ni salama, kwani ke...
0 comments:
Post a Comment