Magufuli
atoa ajira kwa madaktari 258, Usalama wa taifa wazuiwa Bungeni,
Daladala yagonga treni Dar mmoja afariki, Mtei amfurahia rais Magufuli.
Spika Ndugai aagiza hotuba za upinzani Bungeni zifuatiliwe, Madaktari
258 Kenya waajiriwa Tanzania, Wabunge wahofia njaa. Habarika na dondoo
hizi za magazeti ya leo hapa.
ADEM Yawataka Wahitimu Kuwa Mabalozi wa Uzalendo
-
NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO
WAHITIMU wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) wametakiwa kuwa
mstari wa mbele katika kusimamia masuala mtambuko...
0 comments:
Post a Comment