Magufuli
atoa ajira kwa madaktari 258, Usalama wa taifa wazuiwa Bungeni,
Daladala yagonga treni Dar mmoja afariki, Mtei amfurahia rais Magufuli.
Spika Ndugai aagiza hotuba za upinzani Bungeni zifuatiliwe, Madaktari
258 Kenya waajiriwa Tanzania, Wabunge wahofia njaa. Habarika na dondoo
hizi za magazeti ya leo hapa.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.