TAMISEMI yabeba 20% ya bajeti kuu, Mauaji ya polisi yazidi kutikisa
Bunge, Wapinzani wasema waliotumbuliwa wanalipwa Sh. Ml. 480
kwa mwezi.
Watumishi 13,369 wafyekwa, Msichana aliyekufa adaiwa kufufuka, Utekaji
ulivyofunika bajeti ya waziri mkuu, Pointi 3 zabaki Simba. Pata kwa
undani wa yaliyojiri katika magazeti ya leo hapa.
Kijiji ambacho kuoana mkiwa dini tofauti ni kifo
-
Mauaji ya wanandoa wa imani tofauti ya dini yameshtua kijiji kidogo katika
jimbo la Uttar Pradesh kaskazini mwa India ambapo wakazi wameishi kwa amani
kwa ...
0 comments:
Post a Comment