Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya Posta Tanzania Tawi la Mbeya wakishiriki zoezi la usafi katika kituo cha Afya kiwanja Mpaka jijini Mbeya ikiwa ni sehemu ya kusherekea miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar .
Baadhi
ya wafanyakazi wa benki ya Posta Tanzania Tawi la Mbeya wakishiriki
zoezi la usafi katika kituo cha Afya kiwanja Mpaka jijini Mbeya ikiwa ni
sehemu ya kusherekea miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar ambapo pia wakabidhi vifaa vya usafi katika kituo hicho cha Afya .
Zoezi la usafi likiendelea
Erick Mwaigomole Mfanyakazi Benki ya Posta Tanzania Tawi la Mbeya akishiriki kikamilifu shughuli za usafi katika kituo cha Afya Kiwanja Mpaka jijini Mbeya kama sehemu ya kusherekea Miaka 53 ya Mapinduzi Zanzibar.
Zoezi la Usafi likiendelea........
Meneja Msaidizi Benki ya Posta Tanzania Tawi la Mbeya Joseph Nzilla akizungumza na waandishi wa habari kuhusu zoezi la usafi ambalo limehusisha wafanyakazi wote wa benki ya posta tawi la mbeya kama sehemu ya kusherekea miaka 53 ya Mapinduzi Zanzibar Leo January 12, 2017.
Picha baadhi wa wafanyakazi benki ya Posta Tanzania Tawi la Mbeya ambao wameshiriki zoezi la usafi katika kituo cha afya kiwanja mpaka jijini Mbeya ikiwa sehemu yao ya kusherekea miaka 53 ya Mapinduzi Zanzibar.
Meneja Msaidizi Benki ya Posta Tanzania tawi la Mbeya Joseph Nzilla akimkabidhi vifaa vya usafi mganga mfawidhi kituo cha afya kiwanja Mpaka Stella Moses kama sehemu ya mchango wao ili kuendeleza zoezi la usafi katika kituo hicho.
Wafanyakazi wa Benki ya Posta Tanzania Tawi la Mbeya katika picha ya pamoja mara baada ya kushiriki zoezi la usafi katika kituo cha Afya kiwanja Mpaka jijini Mbeya ikiwa sehemu ya kusherekea sherehe za Miaka 53 ya mapinduzi Zanzibar.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.