Kutoka Mwanza Kanda ya ziwa nchini Tanzania wanaitwa AIC Buzuruga pata kushuhudia kazi yao mpya Mwanadamu. Zaidi sikiliza kila jumapili saa moja asubuhi hadi saa nne Jembe Gospel ya Jembe FM hapo ndipo himaya ya muziki huu.
NEMC YAFUTURISHA SERENA
-
-Mwanasheria Mkuu wa Serikali -Mgeni rasmi
-Aahidi Ushirikiano wa Kisheria katika Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira
Nchini*
Baraza la Taifa la Hifadhi n...
0 comments:
Post a Comment