Kutoka Mwanza Kanda ya ziwa nchini Tanzania wanaitwa AIC Buzuruga pata kushuhudia kazi yao mpya Mwanadamu. Zaidi sikiliza kila jumapili saa moja asubuhi hadi saa nne Jembe Gospel ya Jembe FM hapo ndipo himaya ya muziki huu.
Maji bwawa la Mindu ni Salama - Bonde la wami Ruvu
-
Na Farida Mangube Morogoro
Bodi ya Maji ya Bonde la Wami-Ruvu imewatoa hofu wakazi wa Manispaa ya
Morogoro kuwa maji ya Bwawa la Mindu ni salama, kwani ke...
0 comments:
Post a Comment