| ... Ebwanaeee unaambiwa hivi wenye mji ngoja wafanye yao Ni bata juu ya bata tukiwa twaelekea #JembekaCampusJam itakayopigwa jumamosi hii, twapiga stop kwanza ijumaa hii paleee @ClubRockBottom Bonge la party kuamshwa pale #washawasha mchongo ukisimamiwa na International DJ @djdommy akisindikizwa na ma DJ wakali wa Club Rock Bottom @djdennis @dvj_benny @hcuedj huku mchongo ukisimamiwa na @bonzbalaa @vitusbuyamba, bata si ndio hili la kuenjoy upepo wa ziwa #Kwa buku 10,000/= langoni ruksa kula bata mpka kuchele *staGE ikimalizwa na dingiii @darassacmg Powerd by @jembefm & #GoldCrestHotel |
0 comments:
Post a Comment