ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, December 1, 2016

AKINAMAMA WAFANYABIASHARA WALIOITOA MACHOZI MWANZA.


Zikiwa zimebaki siku mbili kabla ya Serikali mkoani Mwanza, kuwahamisha katikati ya Jiji wafanyabiashara wadogo (Machinga), ifikapo Desemba 3 mwaka huu, akina mama wauza samaki na mama lishe mkoani humo wameangua vilio wakiomba kutohamishwa.

Wakina  mama hao waliotanda  mbele ya Ofisi ya mkuu wa wilaya ya Nyamagana, wamelia wakiiomba Serikali kutowahamisha katikati ya Jiji, kutokana na madai kuwa miundombinu ya maeneo waliyotengewa kwa ajili ya kibiashara si rafiki.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment