ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, December 25, 2016

EXLUSIVE INTERVIEW: MBATIA HERI KIFO KULIKO MAISHA YA TABU.

Mbunge wa jimbo la Vunjo na Mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi,James Mbatia amesema Tanzania inahitaji kuwekeza zaidi katika elimu ili kuinusuru sekta ya afya kwani amedai kuwa Watanzania wengi ni wagonjwa lakini hawajijui.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.