Harusi ya kipekee kati ya wachumba wawili wenye akili ya taahira imefanyika hii leo huko Kiambu. Ndoa hiyo licha ya kuwaunganisha maharusi walemavu, haikuwa tofauti na harusi ya kawaida na ilihudhuriwa na halaiki huku shamra shamra zikinoga.
ENZI MPYA ZA MAAJABU YA NGORONGORO
-
Na Mwandishi wetu, Ndutu Ngorongoro.
Waswahili husema aungurumapo Simba mcheza nani...?
Tarehe 7 Februari, 2026 Simba ameunguruma ndani ya hifadhi ...
Kijiji ambacho kuoana mkiwa dini tofauti ni kifo
-
Mauaji ya wanandoa wa imani tofauti ya dini yameshtua kijiji kidogo katika
jimbo la Uttar Pradesh kaskazini mwa India ambapo wakazi wameishi kwa amani
kwa ...
0 comments:
Post a Comment