🎧Jumamosi hii 4 June 2016 tumenuia kuifanya Villa Park Resort igeuke kwa muda kuwa mji wa burudani.... Pale sebuleni Super Kamanyola kuwakaribisha tena na tena wakali wa town wa kukushika JJ BAND🎸na Le King 'chumvi ya warembo' Zarry Edosha @zarryedosha 🎤Ma-MC wako with 'Giant Voices' toka Jembe Fm @mbabavc + @bonzbalaa kusimamia show la Villa Night Club ambamo Jembe dJZ wakuitwa @chrissthedj na @deejaykflip wamepewa dhamana ya kuki-hapenisha. Kiingilio buku 3 sebuleni na ukitaka kuzama chumbani Disco buku 7. 📌
0 comments:
Post a Comment