Bondia Ibrahimu Maokola kushoto akielekezwa jinsi ya kupiga ngumi kali za mkunjo wa chini 'upcut' na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'super D' jana wakati wa kujiandaa na mpambano wake na Joseph Sinkala march 12 mpambano utakaofanyika katika ukumbi wa Dar Live Dar es salaam. |
Bondia Ibrahimu Maokola kushoto akielekezwa jinsi ya kupiga ngumi kali za mkunjo wa chini 'upcut' na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'super D' jana wakati wa kujiandaa na mpambano wake na Joseph Sinkala march 12 mpambano utakaofanyika katika ukumbi wa Dar Live Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.