Huyu ni msanii wa muziki wa kizazi kipya anayechipukia kutoka Mwanza, ndani ya kipindi kifupi sana akipiga show za mitaa kwa mitaa kila aliyemkaribia alisema YeeeeessssSSsss. Ndani ya Club Rock Bottom jijini Mwanza, Elizayo hapa anawakutanisha wadau wake wa karibu kutambulisha matunda ya kazi yake. Shuhudia kichupa.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.