![]() |
| Tumpale John Mwaisango(kulia) Bi. Harusi mtarajiwa akiwa pamoja na Mume wake Mtarajiwa Jeofrey Daniel Shipela (kushoto) katika nyuso za Furaha wakati wa sherehe za kumuaga . |
![]() |
| Hivi ndivyo ukumbi ulivyo ulivyokuwa. |
![]() |
| Bibi Harusi Mtarajiwa Tumpale John Mwaisango akiwa anaingia ukumbini. |
![]() |
| Bi Harusi mtarajiwa Tumpale John Mwaisango akimpa zawadi Mume wake Mtarajiwa Jeofrey Shipela wa kwanza kulia ni mpambe wa Bwana harusi mtarajiwa Venance Matinya. |
![]() |
| Bi. Harusi Mtarajiwa Tumpale John Mwaisango (kushoto) Akikata keki kulia ni Mpambe wake Monica. |
![]() |
| Bi. Harusi Mtarajiwa Tumpale John Mwaisango (kushoto) Akimlisha keki Mpambe wake Monica. |
![]() |
| Baba Mdogo wa Tumpale John Mwaisango akitoa neno kwa Binti yake na neno la Shukurani. |
![]() |
| Daniel Shipela (Kushoto) Baba Mzazi wa Bwana Harusi Mtarajiwa Jeofrey Shipela na Mama Mkubwa wake Elizabeth Njeje (kulia) wakitambulishwa. |
![]() |
| Mbele kwa Mbwembwe za aina yake na kwa umahili Mkubwa Bwana Charles Mwaipopo akifungua Shampeni , wakati wa Sherehe hiyo. |
![]() |
| Bibi Harusi Mtarajiwa akimrisha Chakula bwana Harusi Mtarajiwa . |
![]() |
| Kutoka kulia ni Fredy Anthony Njeje, Grace Mwasote na Njuguna Karanja Marafiki wakubwa wa Joseph Mwaisango wakiwa katika Sherehe. |
![]() |
| Baba Mchungaji ambaye ni Baba yake Mdogo wa Tumpale akimpa Mkono wa Pongezi. |
![]() |
| Mbele ni Baadhi ya kaka zake na Bibi Harusi Mtarajiwa wamewakajeee... |
![]() |
| Joseph Mwaisango kaka Mkubwa wa Tumpale John Mwaisango akimkabidhi zawadi mdogo wake Bibi Harusi Mtarajiwa , Fedha ambazo zitamsaidia ambapo anaenda kuanza Maisha na kumuaga rasmi. |
![]() |
| Baadhi ya watu walikuwepo katika Sherehe hiyo. |
![]() |
| Huyo anaondoka baada ya kumaliza Sherehe |
![]() |
| Bibi Harusi Mtarajiwa Tumpale John Mwaisango kuelekea katika Sendoff yake aliona bora asherekee pia na watoto yatima na waliokuwa wanaishi katika mazingira magumu cha Nuru hapa akiwapa zawadi |
![]() |
| Baadhi ya Vitu ambavyo alipeleka katika kituo hicho |
![]() |
| Huko Nyumbani pia kulikuwa na Sherehe ya kumuaga Binti Tumpale Mwaisango, Hapa Baba Mdogo akitoa Neno la Shukurani |
![]() |
| Sherehe ikiendelea Nyumbani. |
Tupe maoni yako




















0 comments:
Post a Comment