![]() |
Friendz wa ukweli waliibuka Jembe Beach kuuaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka mpya 2015. |
![]() |
Hapa lilipigwa charanga likawachanganya mashabiki hawa. |
![]() |
Selfie na JJ Band aka The Mambaz |
![]() |
Hatariiiii... |
![]() |
Ng'adu kwa ng'adu... |
![]() |
Break dance. |
![]() |
Full Light @Jembe palipendeza kwa maandali ya kipekee |
![]() |
Meza ya wastaarabu. |
![]() |
Flowerz |
![]() |
Meza hii ilikuwa na shangwe 'hATAri' |
![]() |
Hapa alikalishwa mtu....!! |
![]() |
KamuaaaaAAA...!! Kushoto ni CEO wa Jembe ni Jembe Dakitari Mkare. |
![]() |
Blue thing..!! |
![]() |
JJ Band kwa area... |
![]() |
New style imeingia mjini katika kuserebuka na hapa ikitambulishwa na Jembe team. |
![]() |
'Sugua mpaka itakate' |
![]() |
Baada ya makamuzi ya bendi kumalizika Jembe Djz walikamua mpaka jua likaonekana. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.