![]() |
| Friendz wa ukweli waliibuka Jembe Beach kuuaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka mpya 2015. |
![]() |
| Hapa lilipigwa charanga likawachanganya mashabiki hawa. |
![]() |
| Selfie na JJ Band aka The Mambaz |
![]() |
| Hatariiiii... |
![]() |
| Ng'adu kwa ng'adu... |
![]() |
| Break dance. |
![]() |
| Full Light @Jembe palipendeza kwa maandali ya kipekee |
![]() |
| Meza ya wastaarabu. |
![]() |
| Flowerz |
![]() |
| Meza hii ilikuwa na shangwe 'hATAri' |
![]() |
| Hapa alikalishwa mtu....!! |
![]() |
| KamuaaaaAAA...!! Kushoto ni CEO wa Jembe ni Jembe Dakitari Mkare. |
![]() |
| Blue thing..!! |
![]() |
| JJ Band kwa area... |
![]() |
| New style imeingia mjini katika kuserebuka na hapa ikitambulishwa na Jembe team. |
![]() |
| 'Sugua mpaka itakate' |
![]() |
| Baada ya makamuzi ya bendi kumalizika Jembe Djz walikamua mpaka jua likaonekana. |
Tupe maoni yako


















0 comments:
Post a Comment