Baada ya kukisoma kitabu cha January Makamba kinachozungumzia 'Tanzania Mpya', sasa naomba niungane na maelezo ya dibaji iliyoandikwa na Rais Mstaafu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi kwa kusema "Nimefarijika kuyasoma mazungumzo baina ya Padri Privatus Kamgendo na Ndugu January makamba mmoja wa viongozi mahiri wa zama za sasa. Nawapongeza kwa kuamua kuyaweka mazungumzo yao katika rekodi ya maandishi. Hakika tutajifunza mengi kuhusu na kutokana na maisha ya Ndugu Makamba pamoja na fikra zake kuhusu Tanzania ijayo" Kwa uchache yale yaliyomo kitabuni yalipata kusikika LIVE kupitia mahojiano yaliyofanyika mwanzoni mwa juma hili ndani ya kipindi cha 'Power breakfast kilichoruka ndani ya Clouds Fm' Kwanza kuhusu mbio za Urais, pili suala la Rushwa, tatu Wanawake na ajira + Wanawake na haki zao, nne Ulinzi na usimamizi wa rasilimali ulio na tija na manufaa kwa Watanzania. Nisikuchoshe BOFYA PLAY KUSIKILIZA
Chukua Mkwanja Wako Mapema Leo
-
HATIMAYE baada ya jana kushuhudia mechi kibao zikipigwa na matokeo mengine
yakiwa yakustaajibisha, leo hii ni zamu tena ya wababe wengine kibao
uwanja...
PMT YASHIRIKI USAFI UFUKWE ZA DENGU
-
Na Eben-Ezery Mende
SHIRIKISHO la michezo ya Pentathlon Tanzania (PMT) limeshiriki utaratibu wa
kufanya usafii katika Fukwe za Dengu jijini Dar es Sa...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.