Ni Bo-Bo-Bonge la track la msanii E-40 linaloitwa "RED CUP" akimshirikisha T-Pain, jamaa anayetarajiwa kudondoka jijini Mwanza mnamo Tarehe 21 mwezi feb 2015, eneo la tukio ni uwanja wa CCM Kirumba.
Vilevile humo ndani katika feat kuna Kid Ink & B.O.B.
KIINGILIO:- Tsh 10,000/= Kawaida na 20,000/= VIP
Unashindwaje kuwa VIP kwa Mwaka mara moja tena kwa Bonge la show la kimataifa kama hili...!!??
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
0 comments:
Post a Comment