Ni Bo-Bo-Bonge la track la msanii E-40 linaloitwa "RED CUP" akimshirikisha T-Pain, jamaa anayetarajiwa kudondoka jijini Mwanza mnamo Tarehe 21 mwezi feb 2015, eneo la tukio ni uwanja wa CCM Kirumba.
Vilevile humo ndani katika feat kuna Kid Ink & B.O.B.
KIINGILIO:- Tsh 10,000/= Kawaida na 20,000/= VIP
Unashindwaje kuwa VIP kwa Mwaka mara moja tena kwa Bonge la show la kimataifa kama hili...!!??
TASAC yakutana na wadau Wajenzi wa Meli Mwanza
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), leo tarehe 7 Mei, 2026
limefanya kikao na wadau wa ujenzi wa meli jijini Mwanza kwa len...
TASAC YAFANYA KIKAO NA WADAU WAJENZI MELI MWANZA
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), leo tarehe 7 Mei, 2026
limefanya kikao na wadau wa ujenzi wa meli jijini Mwanza kwa leng...
Iran yatafakari pendekezo la Marekani kumaliza vita
-
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei, amesema Tehran
bado inapitia pendekezo hilo na baadaye itawasilisha msimamo wake kupitia
wapatan...
0 comments:
Post a Comment