Ni Bo-Bo-Bonge la track la msanii E-40 linaloitwa "RED CUP" akimshirikisha T-Pain, jamaa anayetarajiwa kudondoka jijini Mwanza mnamo Tarehe 21 mwezi feb 2015, eneo la tukio ni uwanja wa CCM Kirumba.
Vilevile humo ndani katika feat kuna Kid Ink & B.O.B.
KIINGILIO:- Tsh 10,000/= Kawaida na 20,000/= VIP
Unashindwaje kuwa VIP kwa Mwaka mara moja tena kwa Bonge la show la kimataifa kama hili...!!??
DKT.DIMWA : ATOA WITO KWA WANAWAKE NCHINI
-
Na Mwandishi Wetu,Zanzibar.
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohamed Said
Dimwa, ametoa wito kwa wanawake nchini kujito...
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.