"Wapendwa mashabiki na wadau wa Muziki ninapenda kuwataarifu kwamba ule utaratibu tuliokua tukiendeleanao wa kuachia wimbo mpya kila mwezi tumeusitisha rasmi ukiwa na nafanikio lukuki, Sina zaidi ya shukrani kwa mungu na wote waliofanikisha zoezi hili lililotimiza mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu lianze, HERI YA MWAKA MPYA KWA KILA MMOJA Asanteni sana".Bob Haisa yes
KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara...
Simba SC inafahamu la kufanya ili 'kupindua meza'
-
Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids amesema wachezaji na jopo la ufundi
wanafahamu fika wanachopaswa kukifanya katika mchezo wa marejeano wa
fainali ya Ko...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.