ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, January 2, 2015

MWANZA YAANZA KWA KISHINDO TAIFA CUP 2015 WANAWAKE

Rais wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF) Jamal Malinzi akipiga mpira kuashiria ufunguzi wa Michuano ya Kitaifa ya Soka kwa wanawake ijulikanayo kama Proin Promotions Women Taifa Cup 2015 iliyozinduliwa jana katikadimba la CCMKirumba Mwanza.   
Mwanza Queens (blue) walishuka dimbani kupepetana na Mara Queens (red), ambapo hadi mwisho Mwanza mchezo ulishuhudiwa kwa Mwanza kuibuka na ushindi mnono 6-1.
Mwenyekiti wa Kamati ya soka la wanawake TFF Blass Kiondo akizungumza mipango na mikakati iliyopo katikakukuza na kuinua soka la wanawake nchini.
Rais wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF) Jamal Malinzi akikagua timu wenyeji Mwanza Queens katika ufunguzi wa Michuano ya Kitaifa ya Soka kwa wanawake ijulikanayo kama Proin Promotions Women Taifa Cup 2015 iliyozinduliwa jana katika dimba la CCMKirumba Mwanza.  
Rais wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF) Jamal Malinzi akikagua timu ya Mara Queens katika ufunguzi wa Michuano ya Kitaifa ya Soka kwa wanawake ijulikanayo kama Proin Promotions Women Taifa Cup 2015 iliyozinduliwa jana katika dimba la CCMKirumba Mwanza.  
Mwanza Queens.
Mara Queens.
Mwanza wanapata kona. 
Wakiwa na mazoezi ya kutosha kupitia kambi ya muda mrefu waliyoweka Mwanza Queens waliinyanyasa ngome ya Mara Queens katika mchezo wa ufunguzi wa Proin Promotions Women Taifa Cup 2015, na kuondoka na ushindi wa bao 6-0.
Mashambulizi.
Dakika 80 za mchezo zinamalizika katika dimba la CCM Kirumba, Mwanza Queen wakiondoka na ushindi 6-0 dhidi ya Mara Queens.
ALBERT G. SENGO: MWANZA
MICHUANO ya kitaifa ya Soka la Wanawake Tanzania ijulikanayo kama Taifa Cup hatimaye imezinduliwa hii leo dimba la CCM Kirumba, Mwanza Queens wakishusha kichapo cha fungulia mwaka kwa kuibamiza Mara Queens bao 6-1. ZAIDI BOFYA PLAY KUSIKILIZA 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.