ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, November 14, 2014

BURUDANI FC YAINGIA NUSU FAINALI, YAIONDOSHA KILUVYA UTD KWA PENATI KWENYE DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP

10
KIKOSI CHA BURUDANI FC
11
KIKOSI CHA KILUVYA UTD......... 
4
Michuano ya DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP hatua ya robo fainali imeendelea leo kwenye uwanja wa bandari maeneo ya Tandika Mwembeyanga kwa kuzikutanisha timu za Burudani Fc ya Temeke mikoroshini dhidi ya Kiluvya Utd kutoka mkoani Pwani, mchezo huo umemalizika kwa timu hizo kushindwa kufungana baada ya dakika 90 ikabidi changamoto ya mikwaju ya penati itumike kumpata mshindi na timu ya Burudani ikafanikiwa kupata mikwaju minne dhidi ya miwili ya kiluvya,golikipa Abraham Abdallah wa Burudani alipangua penati moja ya kiluvya.    
9
Sehemu ya mashabiki wakitizama mpambano mkali kati ya Burudani na Kiluvya United.
Capture
Sehemu ya mashabiki wakitizama mpambano mkali kati ya Burudani na Kiluvya United.
1
SSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS 
8
Mbwiga mbwiguke kikazi zaidi....
6
Kocha wa Kiluvya United Yahaya Issa akitoa mawaidha wakati wa mapumziko . Yahaya Issa ni Kiuongo wa zamani wa vilabu vya YANGA NA MORO UTD...  
2
Sehemu ya mashabiki wakitizama mpambano mkali kati ya Burudani na Kiluvya United.
13
Sehemu ya mashabiki wakitizama mpambano mkali kati ya Burudani na Kiluvya United.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.