![]() |
| Mwananchi kitaani kauchapa tulii na wanyama.. |
![]() |
| Barabara za Kabuholo zama hizi za mvua. |
![]() |
| Tafakari mwisho wa barabara. |
![]() |
| Basi inasemekana ndani ya mjengo huu kuna bONGe la msusi atakaye kusuka mitindo yote duniani. |
![]() |
| Kitaa. |
![]() |
| Barabara zinazosubiri ujenzi wa mawe. |
![]() |
| Kutoka Rock City taswira kando kando mwa barabara kuu iendayo Musoma. |
![]() |
| Mama zangu na dada zangu wachakarikaji. |
![]() |
| Katika majira haya upanuzi wa barabara unaoendelea kwa kipande cha Mabatini hadi buzuruga kina kwamishwa na mvua sijui hali itakuwaje hapo baadaye. |
![]() |
| Msaada kwenye tuta. |
![]() |
| Ze daraja. |
![]() |
| Msongamano nao ni sehemu ya utalii...ha...ha...haaaa!! |
Tupe maoni yako












0 comments:
Post a Comment