![]() |
| Majina yote mpe yeye,mara Dangote,mara Chibu afu jazia na Diamond Platnum akiwa kazini na skwadi lake zima la kazi alipiga Bo..bo...bonge la Show Fiestani 2014. |
![]() |
| Msanii wa muziki kizazi kipya,Rachael kutoka THT akitumbuiza jukwaani kwenye usiku wa tamasha la Fiesta 2014 lililofanyika katika viwanja lidaz Club,Kinondoni jijini Dar. |
| Sehemu ya umati wa watu waliokuwa wakishuhudia yaliyokuwa yakijiri kwenye jukwaa la Fiesta 2014 katika viwanja vya Lidaz Kinondoni jijini Dar. |
![]() |
| Mmoja wa wasanii wa kike wanaofanya vyema katika anga ya muziki wa Bongogfleva,Shah akiwa na skwadi lake wakilishambulia jukwaa la fiesta. |
![]() |
| Mkali mwingine wa hip hop nchini Mwana-FA akiwaimbisha mashabiki wake (hawapo pichani) usiku wa kuamkia leo kwenye tamasha la Fiesta 2014. |
![]() |
| Kama kawaida yao wawapo jukwaani,ni kushambulia jukwaa mwanzo mwisho,pichani kulia ni Stamina na Ney wa Mitego wakikamua jukwaani. |
![]() |
| Abdulkiba nae akionesha yake jukwaani. |
![]() |
| Ilikuwa ni shoo moja nzuri kutoka nyumba ya vipaji ya THT. |
![]() |
| Ilikuwa buruuudani kabisa. |
![]() |
| Pichani msanii Linah (nyeupe) akiwa na skwadi lake mara baada kumaliza kulishambulia jukwaa kwa pamoja. |
![]() |
| Anaitwa Ally kiba ambaye inaelezwa kutoka kwa mashabiki kuwa alifanyo shoo nzuri na iliyowavutia,na kuthibitisha uwezo wake kuwa ni kweli amerejea kwenye kiti chake cha usanii. |
| Mashabiki wakifuatilia tamasha la Fiesta 2013. |
![]() |
| Msanii kutoka nchini Marekani Clifford Haris a.k.a T.I akiwasili kwenye viwanja vya lidaz club Kinondoni jijini Dar kutumbuiza tamasha la Fiesta lililofanyikamwishoni mwa wiki. |
![]() |
| Msanii kutoka nchini Nigeria, David Adedeji Adeleke a.k.a Davido akiwakuna mashabiki wake kwa kucheza staili yake ya Skelewi jukwaani,huku miluzi na shangwe ikiwa imetawala kila kona ya uwanja. |
![]() |
| Davido na Diamond wakilishambulia jukwaa kwa paoja. |
![]() |
| Davido na Diamond. |
![]() |
| Skelewu ya Davido na Ngololo ya Diamond. |
![]() |
| Msanii kutoka nchini Marekani Clifford Haris a.k.a T.I akilishambulia jukwaa la Fiesta vilivyo. |
![]() |
| NO MEDIOCRE |
![]() |
| Mashabiki toka mataifa yote nao walishangweka kwa raha zao |
![]() |
| T.I akiwaimbisha mashabiki wake (hawapo pichani ) na wimbo wake wa NO MEDIOCRE. |
![]() |
| Pichani juu na chini ni sehemu ya umati wa watu wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye tamasha fiesta usiku wa mwishoni mwa wiki, katika viwanja vya Lidaz Kinondoni jijini Dar. |
![]() |
| Lidaz Kinondoni jijini Dar. |
![]() |
| Ilikuwa ni sheeeddddaaa. |
![]() |
| Ni Shedah.... |
![]() |
| Shaha na skwadi lake wakilishambulia jukwaa. |
![]() |
| Ommy Dimpoz na Victoria Kimani wakilishambulia jukwaa la fiesta 2014 |
![]() |
| Palikuwa hapatoshi. |
![]() |
| Victoria Kimani akilishambulia jukwaa |
![]() |
| Palikuwa hapatoshi jukwaani kwa kila aina ya burudani |
Tupe maoni yako

































0 comments:
Post a Comment