ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, September 26, 2014

SKYLIGHT BAND WAZIDI KUTIKISA JIJI LA DAR KWA BURUDANI NZITO

Skylight Band Divas Mary Lukos(Wa kwanza Kushoto) Aneth Kushaba(katikati) Na Digna Mpera (Wa kwanza Kulia) wakitoa burudani ya nguvu Kwa Mashabiki Wao Ndani ya Kijiji cha Maraha Thai Village Ijumaa Iliyopita.Kila Ijumaa ya mwisho wa wiki Band Ya Skylight Wanapiga show Ndani ya Thai Village.Karibu Leo Upate burrudani ya nguvu yenye kukonga Roho yako na kutakuwa na Supriseeeeeee kibaoooo ndani ya Thai Village
          Hashimu Donode Akiimba kwa raha zake ndani ya Thai Village 
Shabiki huyu hakuweza kujizuia hisia zake pale alipoguswa na muziki mzuri uliokuwa ukiimbwa na Hashimu Donode
Donode Akiendelea kuimba na shabiki wake kwa Raha zaooooo
Digna Mpera akizipiga zile voca; kali za kumtoa nyoka pangoni

Mary Lukos Kwa Rahaaaa zakeee akifurahia Muziki mzuri
Aneth Kushaba (wa kwanza kulia)akiimba kwa Furaha kuwapa burudani mashabiki wake ndani ya Thai village
Mary Lukos Akiimba Kwa Hisia kaliii Huku akipewa sapoti na Wenzake kushoto

Sony Masamba(mutoto ya Congo)akiimba kwa Raha zakee ndani ya Thai Village
Joniko Flower(mutu Ya Congo)Akizipiga zile vokali kaliii za kilingala ndani ya Thai Village
Vijana wa Skylight Band Joniko Flower(wa Kwanza Kushoto)Sony Masamba (katikati)Na Sam Mapenzi Wa mwisho kulia wakiyarudi mauno vilivyo kutoa burudani kwa mashabiki wao
Muziki ni raha na Hisia kama Sam mapenzi(wa kwanza kulia)anavyoonekana akiyarudi   mauno kwa rahaa zake
Hebu tazama mashabiki hawa wakiwa na mshangao wa furahaaaa kupata muziki mzuriiiiiiii huku wakichezaaaa kwa raha zaoooo
Hahaha Vijana wa Skylight hwa nao hakusita kucheza muziki mzuriiii uliokuwa ukiporomoshwa
Imma Mpiga Gita wa Skylight Band akizichana nyuzi vilivyooo ili kutoa burudani ya nguvuuuuuuu
Idrisa akizipiga drumsss zake kuleta redha ya muziki mzuriiiiiiiiii
Wapiga Kinanda wa Skylight Band wakifurahia ukodak wa nguvuuuu
Mpiga kinanda wa Skylight Band akivipiga vitufee vya kinandaa kwa rahaaa kabisa 
Mpiga Tumba wa Skylight Band Daudi Tumba  kitia ladha zake za tumba
Haya Skylight Band Huwa inawapenda sana mashabiki wake kama pichani inavyoonekana mashabiki hupata mda na wasaa wa kusheherekea siku zao za kuzali kwa kuimbiwa na kukata keki,Operation Manager Wa Mo Blog Zainul Mzige akilishwa keki ya Birthday kwa rahaa kabisaaa

Hahahaha Ni furahaaa na Kucheza muziki tuuuu jionee mwenyewe hapa
Mpaka juu mpaka juuuuuu kwa rahaaa zao kabisa mashabiki hawaaaaa
Hapoooo sasa ni viunoooo viunoooo mpaka basiiii,wakifurahia muziki mzuri toka kwa bendi yao Skylight
Tazama shabiki huyuuuu akifurahi na kushangaaa baada ya kupigwa moja ya nyimbo anazopendaaa
Hapo sasaaaaa unaambiwa mwanamke nyongaaaaaa
Mikono juuu mikono juuuuu mashabiki wakichezeshwa muziki na waimbaji wa Skylight Band
Nyomiiiiiii lakutoshaaaaa wakifurahia burudaniiii kwa raha zaooooo
Wanamanyoya haoooo wakipata Ukodak wa Nguvuuuuuuuuu
Operation Manager wa Mo Blog Zainul Mzige(wa pili toka kushoto) akipata ukodak na wanamanyoya
Cathbert Kajuna Mmiliki wa KajunaSon Blog(wa kwanza Kushoto)akiwa na Hussein mmiliki wa Ujanatz Blog Na Makubwa Haya  Blog nas mkewe kulia wakipata Ukodak wa Nguvu
Le Mutuz Baharia mmiliki wa Blog ya wanainchi akipata ukodak na Aneth Kushaba meneja wa skylight Band, Usikoseeee Leo kutakuwa na Supriseeee Kibaoooooooo Ndani ya Thai Village

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.