| Mapinduzi makubwa yamefanyika toka kwa wanamuziki wanadada huyu anaitwa Khadijah. |
| Mo Music, akifanya yake fIESTANi. |
| Linah. |
| Special dance la Linah. |
| Hapa kulikuwa na ligi ya burudani akina dada wawili wakali Afrika Mashariki Khadijah (L) na Linah (R). |
| Wow with Linah.... |
| Linah ni mmoja kati ya wasanii wanaofanya vyema sana katika stage, huku wakiwa na mapinduzi makubwa ya style za uburudishaji. |
| Mr. Blue amechange now days jamaa anapiga show za hatari, wengi mashuhuda wa kazi zake jukwaani (mashabiki) wameonekana kumpa umakini kila dakika yake stejini.... |
| Mr.Blue doing his thing. |
| Mc Baba la baba Adam Mchomvu aka Baba Jonii alikisanukisha mbayaaaa!! |
| Young Killer..... |
| Macho kwenye show.... |
| Makamuzi ya Recho. |
| Ommy Dimpoz...na saluti zake kwa mashabiki. |
| Ukurasa mwingine wa Ommy Dimpoz. |
| Ni mistari ya Hip Hop kutoka anga la WEUSI anaitwa Nikki wa Pili. |
| Ngosha the don aka Fid Q. |
| Naitwa nani (FId Q) kazi yako nini (Mziki).....!!! |
| Dj Zero na Dj Fetty ni wakati wa Maswali na majibu....Kwa mFANo...! |
| WANAUMEEEEeeeeee!!!! |
| Mheshimiwa Temba (L) na Chege Chigunda (R). |
| Stamina .... |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment