ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, September 12, 2014

PEPSI KOMBE LA MEYA ROBO FAINALI YA PILI IMECHEZWA LEO JIJINI MWANZA

Wachezaji wa timu ya soka ya Mkolani Fc wakishangilia goli la pili la ushindi dhidi ya Igoma Fc katika mchezo wa robo fainali michuano ya Pepsi Kombe la Meya 2014 uliochezwa leo katika uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza. Hadi mwisho wa mchezo Mkolani Fc 2-1Igoma 
Na ALBERT G. SENGO, MWANZA.
MICHUANO ya kombe la Pepsi Meya 2014 inayoratibiwa na My Way Entertainment ikiwa chini ya Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula sasa imeingia hatua ya robo fainali ambapo timu nane zimeanza kuchuana kupata timu nne za kucheza nusu fainali Septemba 17 na 18 mwaka huu katika uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza.

Timu zilizoingia robo fainali na tarehe zake za kushuka dimbani ni pamoja na :-
11th sept- Sokoni vs Mbugani 3-2
12th sept- Mkolani vs Igoma 2-1
13th sept- Wanahabari vs Mirongo Fc  (....)
14th sept- Mnadani vs Magazeti           (....) 

Kwa matokeo zaidi BOFYA PLAY KUSIKILIZA YALIYOJIRI..

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.