| Mc hatari nchini Tanzania Dj Fetty akiShow some love na wakazi wa Tabora katika Serengeti Fiesta 2014 iliyofanyika katika uwanja wa Ally Hassan Mwinyi. |
| Mkali mwingine anayekuja kwa 'speed ya risasi' toka Rock City Director Shaibu alichangamsha raia na ngoma zake ile kinoma nowma. |
| Akitumbuiza kwa lugha asili toka watu wa kabila la wahaya anaitwa Bk Sande. |
| Wow Khadijah ... |
| Mo Music.. |
| Kulia ni Baraka the Prince na kushoto ni Mo Music....Ni sheeeder!!. |
| Baraka the Prince. |
| Ngosha the Don aka Fid Q hapa alikuwa akitema rymes za Hip hop...Sheeder!! |
| Next .... |
| Nikki wa Pili |
| WanaTBR wameukubali mziki. |
| Mc mkali, machachari Nickson George. |
| Taa zilizimwa one time kuwakumbuka waliotutangulia mbele za haki ikiwa ni pamoja na kumshukuru Mungu kana anavyoagiza kwenye maandiko yake. |
| Pande hii aje...aje...Ni shigiDi |
| Linah.. |
| Khadijah (L) na Linah (R) |
| Wakapiga bonge la shooO! |
| Young Killer ... |
| Stamina. |
| Stamina (L) na Fid Q (R) |
| Huyu mrembo anafanya nini hapa kati...?! |
| Eh bana wachaAAa mistari ya hip hop na komvising' pawa yake ni nowma pindi inapopangwa, lazima mtsotso aingie kingi. |
| The toMBo Adam Mchomvu aka baba jonii fIESTANi Tabora. |
| Mr. Blue now is in Red. |
| Recho....ni Sheeeder!! |
| Ommy Dimpoz. |
| Shilole ndiye mwenyeji wetu mkoani Tabora. |
| The dance ya Shishi... |
| Ilikuwa hatari pale Shilole alipokuwa akimtambulisha wa ubanIZ wake Mziwanda.... |
| Mziwanda. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment