![]() |
| Balozi wa Habari wa Pepsi Kombe la Meya 2014, G. Sengo akitoa utaratibu utakao fuatwa kabla ya makabidhiano. |
![]() |
| Mstahiki Meya aliiongoza meza kuu. |
![]() |
| Mfungaji bora wa mashindano kuondoka na kitita cha shilingi laki mbili. |
![]() |
| Timu yenye nidhamu itaondoka na kitita cha shilingi laki mbili. |
![]() |
| Zawadi ya refa bora wa mashindano shilingi laki mbili, ile hali mshindi wa tatu atalitwaa kombe, medali ya shaba na kitita cha shilingi milioni moja. |
![]() |
| Ni makombe na medali zake kwa michuano ya Pepsi Kombe la Meya 2014. |
![]() |
| Team Pepsi. |
Tupe maoni yako










0 comments:
Post a Comment