![]() |
| Kila mmoja aliyetia timu hapa ndani alimkubali kwa kile alichokuwa akifanya. |
![]() |
| Dah sipati picha engo za Ma-Instagram, Face Book na Twitter....zilijaaje mapix ya tukio...!!!! |
![]() |
| Wimbo: "Jamila analia bwana wake amemuacha......!!" |
![]() |
| Jose ana kwa ana na mashabiki wake!! |
![]() |
| Battle hatariii!! |
![]() |
| The zoom from behind. |
![]() |
| Kutoka stage ilikuwa ni kazi nzito kupata picha, kwani kulikuwa full ile mbayaaaaaa na muvmenti zilikuwa si za kitoto!!! |
![]() |
| Sing with me....!! |
![]() |
| Lilipigwa Pose kisha track ya Tubonge ikafuatia....!!! |
![]() |
| TUBONGE LIVE. |
![]() |
| Shabiki huyu alipandwa na mzuka kiasi cha kupanda kwa stage kuonesha mavitu, kilichofuatia mara baada ya hapo ni Chameleone kuanza kumtunza na mihela! |
![]() |
| Hapa zilimwagwa fedha kiasi cha box kadhaa ikawa ni fursa ya kujizolea. |
![]() |
| Chameleone na shabiki wake wakichukuwa U-Kodak kwa G. Sengo blog. |
![]() |
| Wow oh my my...... |
![]() |
| Ulipopigwa wimbo wa BADILISHA nyomi ya akinadada ikavamia stage kucheza. |
![]() |
| Somo limekubalika. |
![]() |
| Hapa akizungumza na shabiki zake kwa lugha mama (Kiswahili) |
![]() |
| DjZ' |
![]() |
| Jose Chameleone (L) akipata picha ya pamoja na kiongozi wa bendi inayotumbuiza Villa Park, naizungumzia Super Kamanyola mwanamuziki Roy Mukuna (C). |
Tupe maoni yako





















0 comments:
Post a Comment