![]() |
Ni basi la abiria 60 ambalo hufanya safari zake Mwanza - Shiyanga hadi Kahama. |
![]() |
Ni basi aina ya Scania toleo la zama hizo enzi za Mwalimu ambalo hata hata speed meter imekufa.. |
![]() |
Yahitaji kujipanga au kuwa na msuli ili kupiga gia... |
![]() |
Ili wasafiri waondoke wakiwa na mali za mjini. |
![]() |
Hapo sasa twangoa nanga kituo cha mabasi. |
![]() |
Mbele kwa mbele.... |
![]() |
Safari safari ya hofu imeanza, jeh tutafika? |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.