ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 7, 2014

SKYLIGHT BAND YAENDELEA KUMWAGA RAHA KWA MASHABIKI WAKE, NI IJUMAA HII TENA @ Thai Village

DSC_0031
Vijana wa Skylight Band wakitoa burudani Ijumaa iliyopita kwa mashabiki wao kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar... Burudani inaendelea kama kawaida tukutane tena leo jioni......ni balaaaaa..!
DSC_0019
Divas wa Skylight Band... Kutoka kushoto ni Digna Mbepera, Mary Lucos na Aneth Kushaba AK47 wakikonga nyoyo za mashabiki wao ndani ya kiwanja chao cha nyumbani Thai Village Ijumaa iliyopita.
DSC_0037
Rapa Joniko Flower akiongoza kikosi cha Skylight Band kutoa burudani ya aina yake Ijumaa iliyopita.
DSC_0062
Mpiga Tumba wa Skylight Band Daudi akifanya yake jukwaani...!
DSC_0071
Hela yako haipotei bure kwa burudani kama hii... ni balaaa...!
DSC_0098
Sam Mapenzi akipagawisha mashabiki wa Skylight Band ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita...Pichani ni mdau Alois Ngonyani akionekana kukunwa na uimbaji wa kijana Sam Mapenzi.
DSC_0093
Sam Mapenzi a.k.a asali ya warembo akiburudika na mmoja wa mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0083
DSC_0113
Muziki wa pwani a.k.a mduara ulihusika pale kati.
DSC_0121
Mashabiki wa Skylight Band wakijimwaga na mduara.
DSC_0125
Palikuwa hapatoshi hapo kati.
DSC_0072
Wadau wa Skylight Band wakishow love na Ukodak.
DSC_0126
Mwanafamilia wa Skylight Band Victor Maginga (kulia) akiwa na DJ Peter Moe pamoja na mdau wakipata Ukodak.
DSC_0094
Aneth Kushaba AK47 akishow love na washirika wakubwa wa Skylight Band Alois Ngonyani (katikati) pamoja na Emmanuel Francis.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.