![]() |
Juu ya kisiki. |
![]() |
Soma lebo. |
![]() |
Biashara ya nanga. |
![]() |
Ujembe toka kwa wahenga. |
![]() |
Chakula kikuu kwa wakazi wa kanda ya ziwa ni ugali na ugali unao lika hapa ni ule wa mahindi uliochanganywa na muhogo unaitwa udaga. |
![]() |
Mmoja kati ya wapiga picha wa blogu hii Zephania Mandia akionesha muhogo ulio kaushwa na sasa uko sokoni katika moja ya vituo vya kusaga na kukoboa twaita 'Mashineni'. |
![]() |
Biashara ya mihogo imeshamiri nayo yauzwa hadi kwa magunia. |
![]() |
Chakula kingi ulichowahi kupika kilikuwa cha idadi gani ya watu? |
![]() |
Wajenzi wa mradi mkubwa wa Lakairo Investment uliopo nje kidogo ya mji wa kisesa wakirejesha jikoni zana za 'menyu'. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.