ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, February 2, 2014

PICHA ZA UTALII KISESA.

Juu ya kisiki.
Soma lebo.
Biashara ya nanga.
Ujembe toka kwa wahenga.
Chakula kikuu kwa wakazi wa kanda ya ziwa ni ugali na ugali unao lika hapa ni  ule wa mahindi uliochanganywa na muhogo unaitwa udaga.
Mmoja kati ya wapiga picha wa blogu hii Zephania Mandia akionesha muhogo ulio kaushwa na sasa uko sokoni katika moja ya vituo vya kusaga na kukoboa twaita 'Mashineni'.
Biashara ya mihogo imeshamiri nayo yauzwa hadi kwa magunia. 
Chakula kingi ulichowahi kupika kilikuwa cha idadi gani ya watu?
Wajenzi wa mradi mkubwa wa Lakairo Investment uliopo nje kidogo ya mji wa kisesa wakirejesha jikoni zana za 'menyu'.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.