ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, January 20, 2014

JAHAZI YATIKISA KWA MUZIKI MKALI WA TAARAB DAR LIVE

Mzee Yusuf akiwadatisha mashabiki waliofurika Dar Live.
Mzee Yusuf na wanenguaji wake kazini.
Umati wa mashabiki ukiserebuka.
Leila Mohamed akiwa kazini.
Shabiki akiserebuka.
Chidi Boy akikunguta kinanda.
Pozi la kinadada ndani ya Dar Live.
Mashabiki na raha zao.
WAPENZI wa muziki usiku wa kuamkia jana waliburudika kwa mapigo ya bendi ya taarab ya Jahazi katika onyesho la nguvu la kwanza kwa mwaka 2014 ndani ya uwanja wa Taifa wa Burudani Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.

(PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY/GPL)

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.