ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, December 25, 2013

JOSE CHAMELEONE ALIVYOIKARIBISHA CHRISTIMASS NA WANA MWANZA.

Mwanza ilimbeba jujuu Jose Chameleone katika kuipokea Christmass.
"Watu wangu wa nyumbani Mwanza mikono juu" By Chameleone.
Hapa lilipigwa Valu valu.
Mama mia....!!
Bei ghali....!
'Wape watu tumepewa fasi amuka basi....EeeeeeeeeeH'
Mc him self B 12 toka XXL ya Clouds Fm.
Swaggz..!
Bob Haisa hakamatiki..
Aliikamata Mwanza kwa hisia zaidi.
From the stage na Bob Haisa.
The song 'Nisamehe' by Bob Haisa.
The nyomi..
Bob Haisa alidhihirisha kweli kimya chake kimekuja na mshindo.
Bob Haisa akimtambulisha producer  anayetengeneza muziki wake kwa sasa.
Pepsi moja kati ya wadhamini wa Badilisha Concert Mwanza.
Jambo Scuard toka Arusha kama kawa waliwakilisha vyema.
Mtu mbili kamamilioni mbili.
Who is that?

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.