ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, December 5, 2013

HAPA NA PALE VIJIJINI.

Hapa na pale na utalii wa ndani kwa vijiji vyetu.
Huduma ya usafiri wa gari la mwisho (mpaka kesho tena) katika eneo la kijiji cha Mugango kilichopo  Butiama mkoani Mara. 
Maji toka bomba la kijiji cha Mugango wilayani Butiama mkoa wa Mara.
Kushangaa muhimu...
Mtaani kunani ....katika eneo la Mugango.

Hakuna mitaro kwa njia hii ipitayo kijiji cha Dodoma wilayani Magu Mkoani Simiyu.
Kwamvua hii inayonyesha kwa upande wa mashamba ni neema tu kwa mkulima.
Njia haipitiki maji yamefurika barabarani.
Tumeshindwa kuendelea na safari.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.