![]() |
Hapa na pale na utalii wa ndani kwa vijiji vyetu. |
![]() |
Huduma ya usafiri wa gari la mwisho (mpaka kesho tena) katika eneo la kijiji cha Mugango kilichopo Butiama mkoani Mara. |
![]() |
Maji toka bomba la kijiji cha Mugango wilayani Butiama mkoa wa Mara. |
![]() |
Kushangaa muhimu... |
![]() |
Mtaani kunani ....katika eneo la Mugango. |
![]() |
Hakuna mitaro kwa njia hii ipitayo kijiji cha Dodoma wilayani Magu Mkoani Simiyu. |
![]() |
Kwamvua hii inayonyesha kwa upande wa mashamba ni neema tu kwa mkulima. |
![]() |
Njia haipitiki maji yamefurika barabarani. |
![]() |
Tumeshindwa kuendelea na safari. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.