ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, November 28, 2013

UMIA UJAE NA MAENDELEO YA JIJI LA DAR.

Hii ndiyo hali halisi hivi sasa jijini Dar es salaam.... Na hapa ni eneo la Posta ya zamani ambapo hivi sasa hakuna daladala linaloruhusiwa kuingia eneo la Posta ya zamani hadi Kivukoni, yote ni kipisha ujenzi wa njia za mabasi yaendayo kwa kasi,

Si unajua tena maendeleo huja na adha yake, takribani miezi mitatu itachukua kukamilika kijipande hiki kama ilivyoahidiwa na Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi.
Shughuli ndiyo hivyo tena.
Kama Ulaya vile pakikamilika.
PICHA NA JIMMY JAM.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.