Basi hili linafanya safari zake KAWE - MBAGALA limeshindwa kuendelea na safari kutokana na kunasa kwenye korongo katikati ya maji, hali inayosababisha usumbufu kwa watumiaji wengine wa barabara.
![]() |
| Abiria wote wametimka kusaka usafiri mwingine. Kazi Kweli kweli... PICHA NA JIMMY JAMM. |
Tupe maoni yako


0 comments:
Post a Comment