![]() |
| Fundo...agudu..agudu...!! |
![]() |
| Burudani inapokolea.... |
| Hisia za Roma. |
![]() |
| Hip hop...!!! |
![]() |
| Moo Music ni moja kati ya wakali wa Mwanza aliye wachengua Wanasaut kinoma noma. |
![]() |
| Kassim Mganga naye alizuka ndani ya Tamasha la Born Fire lililonuia kuwakaribisha wanachuo mwaka wa kwanza wa vyuo mbalimbali nchini. |
![]() |
| aaaaah saa mingi umepanda...!!! |
![]() |
| Jambo Squard walifunika mbayaaa viwanja vya Raila Odinga Chuo cha SAUT jijini Mwanza. |
![]() |
| Jambo Squard wakilishambulia jukwaa pamoko. |
![]() |
| "Ah kacha..kacha..kacha twanasa kumbukumbu" |
![]() |
| "Mamong'o manjeree machalii ya R....aaah ... ah" |
![]() |
| Ilichezeshwa droo kwa wanachuo walio shiriki kujiandikisha Member wa Born Fire mshindi akaibuka na ...... |
![]() |
| Huyu ndiye mshindi wetu akikabidhiwa zawadi yake na wadhamini Serengeti Breweries kupitia Pilsner Lager. |
![]() |
| Eh bana si ndiyo hiiii......!!! |
![]() |
| Chama choma zilikuwa za kutosha tena za ujazo imagine mshkaki mmoja mzito shilingi 500/= tu walichinga ng'ombe wawili. |
![]() |
| Dj is doing his thing...!! |
![]() |
| SAUT reprezenhe..' |
![]() |
| Burudani ya wanavyuo na Hip hop. |
![]() |
| Vipaji vya wanavyuona levo za 'udosini' |
![]() |
| Mahaba ya kidosi. |
![]() |
| Battle ya ma mc ambapo mwisho wa siku jamaa aliyesimama kulia ndiye aliyeibuka kuwa mshindi. |
![]() |
| The Nyomi ya SAUT na Born Fire Concert. |
![]() |
| Kitu cha Pilsner. |
![]() |
| Show love kwa blogu. |
![]() |
| Hip hop thing. |
![]() |
| The area. |
![]() |
| Party dizain flani. |
![]() |
| Born Fire hakuna baridah! |
![]() |
| The crew ya Serengeti Breweries na wadau wake wakishuhudia moto mkubwa uliowashwa ukimaanisha kukaribisha wanachuo mwaka wa kwanza. |
![]() |
| The Born Fire. |
Tupe maoni yako






























0 comments:
Post a Comment