ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, October 31, 2013

USIKU WA TAARAB LEO VILLA PARK HAPATOSHI

Ndiyo hivyo tena muda huu majira ya saa moja jioni, Khedija Omary Kopa na Isha Mashauzi wametoka kufanya sound cheki' hapa villa park nao mashabiki nambari moja wa Mwanza hawakukosekana.
Another photo....kachaaa...Kuelekea mpambano wa Muziki wa Taarab wa Nani zaidi kati ya Isha Mashauzi na Khadija Omar Kopa ndani ya Villa Park Mwanza leo (Tarehe 31/10/2013)
Isha Mashauzi akiwa na shabiki ake Amina Mundele na shosti ake.
Kutoka kushoto ni Dj Chriss, Khadija Omary Kopa na Dj John ambao leo watasimamia mpango mzima kiingilio ni shilingi 10,000/=
'Kattchaaaaa'.....mlio wa kamera ulisikika..
Mwanamuziki nguli wa muziki wa dansi nchini Mzee Kitime akiwa na vijana wake Dj Chriss na Dj John.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.