ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, April 27, 2013

KIKAO CHA KWANZA CHA HARUSI YA DANNY LAMECK CHAFANYIKA ROCK CITY

Mwenyekiti meza kuu Enrnest Nyambo akitoa tathimini ya kwanza ya kikao cha harusi ya Danny Lameck Airo kilichofanyika jana hotel Gold Crest.


Bwana harusi mtarajiwa Danny Lameck (kulia) akipewa maelezo na baba yake mzazi Mh. Lameck Airo ambaye ni mbunge wa Lorya kwaajili ya marafiki na ndugu waliojitokeza kwenye kikao cha kwanza cha harusi kilichofanyika jana hotel Gold Crest Mwanza. Mr. Six wa Six Solution anaonekana pichani (mwenye mic mkononi) naye akitoa maelekezo kwa vijana wa kamati Erasto Airo.


'Mtu wa watu' Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula aliketi nasi kwenye meza hii.


Moja kati ya meza kwa akina mama ambapo kulia kabisa ni mama mzazi wa bwana harusi mtarajiwa.


Brothers.


Baba mzazi Mh. Lameck Airo ambaye ni mbunge wa Lorya (kushoto) aliweka utaratibu wa kupita meza hadi meza kusabahi ndugu na marafiki waliojitokeza kikaoni.


Mie na kaka zangu.


Kutoka kushoto waliosimama ni Mc Nyamhanga na Mc Bonke, walioketi ni Philbert Kabago na G. Sengo.


Wazee wa mji.


'Pamoja'
'Pia Mastori ya town... yalikuwepo'


Kutoka kushoto ni Waziri, Kabago na G. Sengo


Pia burudani ilikuwa na nafasi yake mara baada ya shughuli kumalizika.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.