![]() |
| Mwenyekiti meza kuu Enrnest Nyambo akitoa tathimini ya kwanza ya kikao cha harusi ya Danny Lameck Airo kilichofanyika jana hotel Gold Crest. |
![]() |
| 'Mtu wa watu' Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula aliketi nasi kwenye meza hii. |
![]() |
| Moja kati ya meza kwa akina mama ambapo kulia kabisa ni mama mzazi wa bwana harusi mtarajiwa. |
![]() |
| Brothers. |
![]() |
| Baba mzazi Mh. Lameck Airo ambaye ni mbunge wa Lorya (kushoto) aliweka utaratibu wa kupita meza hadi meza kusabahi ndugu na marafiki waliojitokeza kikaoni. |
![]() |
| Mie na kaka zangu. |
![]() |
| Kutoka kushoto waliosimama ni Mc Nyamhanga na Mc Bonke, walioketi ni Philbert Kabago na G. Sengo. |
![]() |
| Wazee wa mji. |
![]() |
| 'Pamoja' |
![]() |
| 'Pia Mastori ya town... yalikuwepo' |
![]() |
| Kutoka kushoto ni Waziri, Kabago na G. Sengo |
![]() |
| Pia burudani ilikuwa na nafasi yake mara baada ya shughuli kumalizika. |
Tupe maoni yako













0 comments:
Post a Comment