ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, April 16, 2013

KESI YA KUPINGA UCHAGUZI TFF YARINDIMA LEO JIJINI MWANZA. JE UCHAGUZI WA TFF KUCHELEWESHWA HADI JULY 2013?


NA ALBERT G. SENGO:MWANZA

Mahakama kuu kanda ya Mwanza leo imetupilia mbali shauri lililowasilishwa na Richard Rukambula kuitaka mahakama hiyo kusimamisha uchaguzi mkuu wa TFF mpaka kesi yake ya madai ya msingi itakapo sikilizwa na kutolewa uamuzi.

Rukambula aliyefungua kesi dhidi ya Shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania (TFF) mnamo tarehe 25 mwezi February mwaka huu kupinga kuenguliwa kwenye mchakato wa kuwania nafasi ya uongozi TFF kwa madai kuwa TFF katika masharti nane yaliyoorodheshwa kwenye tangazo la uchaguzi kipengele cha kuwataka wagombea kuomba nafasi moja tu hakikuwepo na hivyo wagombea wote waliomba kulingana na jinsi nafasi hizo zilivyokuwa.
BOFYA PLAY HAPA CHINI KUSIKILIZA TAARIFA KAMILI. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.