ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, February 3, 2013

MALINDI YANG'ARA KOMBE LA GRAND MALT.



Said Mohamed Zubeir wa Bandari (kulia) akidhibiti mpira katika pambano la Bandari na Malindi ambapo katika pambano hilo la ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar lililofanyika jana kwenye uwanja wa Mao Tse Tung lilishuhudia Malindi iliichabanga Bandari mabao 3-1. Picha na Martin Kabemba.

 Masoud Ali Rashid wa Bandari (kushoto) na Yussuf Saleh wa Malindi wakipambana. Picha na Martin Kabemba.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.