Said Mohamed Zubeir wa Bandari (kulia) akidhibiti mpira katika pambano la Bandari na Malindi ambapo katika pambano hilo la ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar lililofanyika jana kwenye uwanja wa Mao Tse Tung lilishuhudia Malindi iliichabanga Bandari mabao 3-1. Picha na Martin Kabemba.
Masoud Ali Rashid wa Bandari (kushoto) na Yussuf Saleh wa Malindi wakipambana. Picha na Martin Kabemba.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.