Said Mohamed Zubeir wa Bandari (kulia) akidhibiti mpira katika pambano la Bandari na Malindi ambapo katika pambano hilo la ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar lililofanyika jana kwenye uwanja wa Mao Tse Tung lilishuhudia Malindi iliichabanga Bandari mabao 3-1. Picha na Martin Kabemba.
Masoud Ali Rashid wa Bandari (kushoto) na Yussuf Saleh wa Malindi wakipambana. Picha na Martin Kabemba.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment