Said Mohamed Zubeir wa Bandari (kulia) akidhibiti mpira katika pambano la Bandari na Malindi ambapo katika pambano hilo la ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar lililofanyika jana kwenye uwanja wa Mao Tse Tung lilishuhudia Malindi iliichabanga Bandari mabao 3-1. Picha na Martin Kabemba.
Masoud Ali Rashid wa Bandari (kushoto) na Yussuf Saleh wa Malindi wakipambana. Picha na Martin Kabemba.
RAIS DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI DODOMA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na wananchi wa maeneo mbalimbali ya Jiji la Dodoma ...
TASAC YAFANYA KIKAO NA WADAU WAJENZI MELI MWANZA
-
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), leo tarehe 7 Mei, 2026
limefanya kikao na wadau wa ujenzi wa meli jijini Mwanza kwa lengo la
kuhamasisha u...
TASAC YAFANYA KIKAO NA WADAU WAJENZI MELI MWANZA
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), leo tarehe 7 Mei, 2026
limefanya kikao na wadau wa ujenzi wa meli jijini Mwanza kwa leng...
0 comments:
Post a Comment