ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, January 16, 2013

MWANZA FASHION WEEKEND YAJA WENYE SIFA MPOoo

Kwa  mara ya kwanza katika jiji la Mwanza unaletewa Mwanza Fashion Weekend itakayofanyika mwezi March tarehe 2. 

Msako wa models wa kike na kiume watakaopita kwenye runway siku ya onesho utafanyika jumamosi hii tarehe 19-1-2012 katika hoteli ya Goldcrest Ghorofa ya nane kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 8 mchana.

 Njoo upate nafasi ya kuonesha kipaji chako na kuonesha mavazi ya wabunifu maarufu Afrika Mashariki kama vile Mustspha Hassanali, Martin Kadinda na wengine wengi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.