ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, November 4, 2012

YALIVYOKUWA MAKAMUZ YA WAZEE WA NGWASUMA JIJINI MWANZA USIKU WA KUAMKIA LEO

Mwimbaji wa Hill way band 'Vijana wa juu kwa juu ' ambao pia walitumbuiza usiku huo akishughulika jukwaani huku akipata picha ya pamoja na Rais wa Fm Accademia Nyoshi El Saadat na Mc.  Magoma aliyekuwa akitambulisha burudani mbalimbali ndni ya Jockers Pub Iloganzala.

Mwimbaji wa Fm Accademia Mule Mule FBI akidance aka dance la Ngwasuma hapa ilikuwa mapigo ya ladha ya 'mutwashi'

Pale fronti ni akidance la dance la Ngwasuma hapa ilikuwa mapigo ya ladha ya 'mutwashi'

Yere uwiiiiii....

Smile la kuongeza maisha ya Benn Star wa Star Tv. 

Zile chips pale kati.....

Rapa wa Fm Accademia Toto Kalala na mwimbwji mwenzake wakishambulia stage.

Watu YoOOoooo .... wEWEee....Dada wacha atuzwe mihela....!

Sebene ndani ya style Mupya ya Vunde Dance 

Kwaherini.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment