![]() |
Kutoka kushoto ni Dj Jack, Dj Pq, The master na Denis. |
![]() |
Hapa kulikuwa na raha zake bwana marafiki kukutana mishangao nini na nini..... |
![]() |
Le shonteee Edgar Mapande akienjoy u-drinki wa wadhamini.. |
![]() |
Kundi la Makomando na mkwara wa kwanza stejini... |
![]() |
Kisha style ya kibega ikachukuwa fasi... |
![]() |
Kudhihirisha kwa hili ni jukwaa la kimataifa Msanii wa muziki wa kizazi kipya Dyana alionyesha maufundi ya levo za juu. |
![]() |
Feruz this time kaja kiutofauti saaaana. |
![]() |
Mambo yote ilikuwa kwa mnyama TID... wawo! |
![]() |
Hapa ilikuwa tyme ya maujanja ... |
![]() |
Sanaa ya muziki wa hip hop kwa sasa siutani kwamba iko kwenye levo na hilo lilidhihirika alipopanda jukwaani bwana mdogo Stamina. |
![]() |
Wanamuziki mahiri toka home ni Dito na Mada Ice wakiwa VIP. |
![]() |
Mkali toka home Arachuga JCB na DJ Tass... wakibariz VIP ndani ya Tamasha kuba la Serengeti Fiesta 2012. |
![]() |
Mwana Fa shukurani na big up ziende kwake jamaa alikinukisha mbayaaaaaaa.... |
![]() |
Wadau toka Clouds Media Group. |
![]() |
Ze ladiez...in the house. |
![]() |
Meza iliyoshine ndani ya VIP nadani wataka kuwajua kutoka kushoto ni Edgar Mapande, Alex Kusaga, Gerlard Hando, Dina Marious, na Ncha Kali. |
![]() |
Msanii wa muziki wa kizazi kutoka Zanzibar AT akitimbwirika na Mwanadada Shilole. |
![]() |
Ze colour ya Serengeti Fiesta 2012 jijini Dar. |
![]() |
Hapo vipi...! |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.