![]() |
| Burudani ikiendelea kutolewa kwenye viwanja vya Mwembeyanga |
![]() |
| Mmmoja washabiki wa tamasha la fiesta akizungumza kwa ufupi kuhusiana na tamasha hilo litakalorindima siku ya jumamosi kwenye viwanja vya Lidaz club,Kinondoni jijini Dar. |
![]() |
| Babu katokelezeaaa.... |
![]() |
| Kama ujuavyo panaposhughuli ya Fiesta kila mmoja hujipatia faida kwa namna moja ama nyingine |
![]() |
| Manunuzi |

![]() |
| Utam... |
![]() |
| Ze lediz.. |
![]() |
| Ya nani hiii? |
![]() |
| Bhaassss. |
![]() |
| Panaposhughuli za Serengeti Fiesta huduma kama hizi hazikosekani,kuwajali wapenzi na washabiki wake kwa namna moja ama nyingine. |
Tupe maoni yako














0 comments:
Post a Comment