ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, October 18, 2012

PUSH MOBILE YAINGIA MKATABA NA KAJUNASON BLOG KUWAPA HABARI WANANCHI KWA NJIA YA SIMU ZA MKONONI KUPITIA SMS

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Push Mobile Limited, Bw. Freddie Manento akibadirishana mkataba na Mkurungenzi wa Kajunason Blog, Bw. Cathbert Angelo Kajuna mara baada ya Kajunason Blog kuingia mkataba na Push Mobile kuwawezesha wasomaji mtandao huu kupata habari kupitia simu zao za mkononi.
Ambapo mkurugenzi wa kampuni ya Push Mobile alisema kuwa wanafurahishwa na Kajunason Blog kuingia katika mfumo wa kuwapa habari wasomaji wake kwa njia ya Simu za Mkononi, "Kajunason Blog ni mtandao wa kwanza kuingia katika mfumo huu wa kurusha habari kupitia simu za mkononi," alisema.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Kajunason Blog alitoa shukrani zake kwa kampuni hiyo na kuihakikishia kufanya kazi nao bega kwa bega ili kuweza kufikia malengo. Pia aliwaomba wasomaji kumuunga mkono kwa kujisajili ili wafaidike na huduma hiyo kwa kutuma neno KB kwenda 15678.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Push Mobile Limited, Bw. Freddie Manento akisaini mkataba wa makubaliano huku pembeni Mkurungenzi wa Kajunason Blog, Bw. Cathbert Angelo Kajuna akishuhudia. Mkataba huo umesaini ofisi za Push Mobile jiji Dar es Salaam.
Mkurungenzi wa Kajunason Blog, Bw. Cathbert Angelo Kajuna akisaini mkataba wa makubaliano na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Push Mobile Limited, Freddie Manento ambapo Kajunason Blog kuingia mkataba na Push Mobile kuwawezesha wasomaji mtandao huu kupata habari kutipia simu zao za mkononi.

Tupe maoni yako

6 comments:

  1. Hi! This is kind of off topic but I need some guidance from an established blog.
    Is it tough to set up your own blog? I'm not very techincal but I can figure things out pretty quick. I'm thinking about setting up
    my own but I'm not sure where to begin. Do you have any ideas or suggestions? Cheers

    Feel free to surf to my page Excellent customer service when choosing compression setting garments?

    ReplyDelete
  2. Very good post. I will be going through a few of these
    issues as well..

    Here is my webpage chestfatburner.com

    ReplyDelete
  3. Its like you read my mind! You seem to know a lot about this, like you wrote the book in it or something.
    I think that you can do with some pics to drive the message home
    a bit, but instead of that, this is fantastic blog.
    An excellent read. I will certainly be back.

    Feel free to visit my weblog: Risk factors connected with Abnormality

    ReplyDelete
  4. Have you ever thought about including a little bit more than just your articles?
    I mean, what you say is important and all.

    Nevertheless think about if you added some great pictures or
    video clips to give your posts more, "pop"! Your content is
    excellent but with pics and video clips, this site
    could undeniably be one of the most beneficial in its field.
    Wonderful blog!

    Feel free to visit my blog post ... Is actually fat loss very important to treating abnormality?

    ReplyDelete
  5. Thank you for sharing your thoughts. I truly appreciate your efforts and I will
    be waiting for your next write ups thank you once again.

    Also visit my web-site :: Unfastened individuals unpleasant moobs

    ReplyDelete
  6. I think what you posted made a lot of sense. However,
    what about this? suppose you were to create a killer post title?
    I mean, I don't want to tell you how to run your website, however suppose you added a title that makes people want more? I mean "PUSH MOBILE YAINGIA MKATABA NA KAJUNASON BLOG KUWAPA HABARI WANANCHI KWA NJIA YA SIMU ZA MKONONI KUPITIA SMS" is a little plain. You should peek at Yahoo's front page and watch how they write news headlines to grab viewers to open the links.
    You might try adding a video or a related pic or two to grab readers
    excited about what you've got to say. In my opinion, it might bring your posts a little bit more interesting.

    My page :: chestfatburner.com

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.